Sehemu za hisia kwa kila nyota

Rakims
Mizani (Libra)

SEHEMU YA HISIA:

Kiuno chake ndio sehemu inapotawala hisia yake utaona analalama kiuno kinasumbua ili tu kupata kupapaswa na kukandwa eneo hilo.


Mashuke (Virgo)
SEHEMU ZA HISIA:

Ukitaka kuwa nae hivyo hivyo basi fahamu sehemu zake za hisia ni tumbo mtekenye tekenye tumboni na kumpa parapanda hapo hata kama umemkosea ama umemnunisha utamuona anaanza kucheka na kufurahi na hupenda sana kushikwa kwa vidole tumboni wakati wa tendo.

Na kupitishiwa ndimi sehemu ya mstari wa tumbo uzazi pia mkono wako kushika tumbo lake kwa ulaini wakati wa tendo ni kitu kinachomfanya akuone kama mfalme.

Fanya hayo kumfurahisha lakini hutampenda nje ya hapo ndivyo kama nilivyokueleza
kubali kushindwa no matter what uwe umemzidi umri,akili,maarifa,au pesa kitakachozidi kushikiria mahusiano yenu ni roho ya huruma na moyo wa imani ulionao.

Kama ilivyo kila mtu ana sehemu yake maalumu ya hisia basi kwake sehemu yake ya hisia ni eneo zima linalozunguka tumbo lake hasa ukiweza kupitisha ulimi wako pembeni ya tumbo lake na jirani ya maeneo yanayokaribia tumboni basi utaona ana hisia za kiwazimu huyu ni moja kati ya wale wanawake ambao ukimbinya sehemu za tumboni huruka sana na hisia zake hupanda haraka na pia huoonyesha ulaghai kuwa ni kitu muda mwingine hapendi kufanya michezo ya bafuni ni kitu kingine huyu hupenda sababu moja wapo inayompelekea kupenda kucheza bafuni ni vile watu hawa wenye asili ya mchanga mwekundu hupenda sana kuwa wasafi na hutumia muda kuwa bafuni na hiyo tu kama bafu lenu lina hali nzuri,

Ikiwa utacheza nae bafuni kwa kumsponge na kumpaka sabuni maeneo ya tumboni basi utaona anapandwa na midadi kwa haraka na ukimchuruzia maji eneo hilo basi hupata raha isiyokifani vile vile makinika nae kwa maana ni mtu ambaye hupenda kujaribu chochote chumbani na pia katika vitu hufungua kichwa chake zaidi huwa ni massage ya tumbo za vidole na ikiwa unapitisha kama unyoya basi yeye huhisi raha isiyo kifani fanya hivyo hadi pale utakapoona kaacha kuguna kwa hamasa kisha baada ya hapo moja kwa moja atakuwa ni mtumwa wako unachotaka afanye atafanya kwa hapo.

Nge (Scorpio)
SEHEMU ZA HISIA;

Huyu sehemu zake za hisia ni sehemu za siri kama utajua jinsi ya kucheza nazo vizuri basi utamteka hadi kuzikana. Unaniwia radhi napata ugumu kuandika maelezo mengi ningekuelekeza jinsi ya kucheza nae pia swaum


Ng'ombe (Taurus)
SEHEMU ZA HISIA:

Sehemu yake ya hisia ni shingoni nimeshaelezea ufanye nini kama mwenza wako anahisia sehemu hii.


Samaki (Pisces)

SEHEMU ZA HISIA:

Sehemu zake za hisia ni sawa na zako yale unayopenda kufanyiwa utakuta na yeye ni hayo hayo anapenda kufanyiwa na sehemu zenu nyote za hisia zipo kwenye supu za miguu ya chini ikiwa umeshajua hilo au bado basi jaribu kufuatilia miguu ina nafasi kubwa sana katika hisia zenu na hata maumivu mara nyingi kwenu huwa ni miguuni.


NGE:
SEHEMU ZA HISIA:

Sehemu yake ya hisia ni sehemu zake za siri kama hana dildo chini ya uvungu basi jaribu kutafuta sex toys umuwekee karibu haijarishi umri wake.

Ghafla tu huwa na mihemko ya kufanya tendo na ghafla tu hukata.

Una nafasi kubwa ya kusalitiwa akiwa hana hizi toys.

Kama hana muonyeshe kujali kwa kumnunulia it's awkward but you need to strength hayo mawadah.


SEHEMU YAKE YA HISIA;
Sehemu yake ya hisia zaidi ni supu za miguu na ankles. Gusa,papasa,tomasa au mbusu sehemu hizo basi ukifanya hivyo utaona hisia zake zinapanda kwa kasi na anakuwa radhi hilo ni eneo nyeti sana kwake na wengine wao hupenda kusafishwa miguu saloon hivyo Kugusa,

kusugua, kupapasa, au kumbusu sehemu hii ya mapenzi ya anatomia kwa kiasi kikubwa humuamsha hamu ya tendo.
mfanyie kumbembeleza kifundo cha mguu, kusonga hadi supu kama massage laini, na uone jinsi anajibu haraka.
Wanamaji hupenda kuwa na miguu ya chini na vifundo vyao vya miguu vilivyotiwa ujazo mfano mguu wa bia hupenda pia mchezo wa kumwagiwa maji miguuni.

Kama hatua ya awali ya kufanya mapenzi, mpe massage nzuri ya miguu. Tumia vidole vyako au kucha, na na uwe kama unampatia ganzi kiasi
utaona analalama kwa upole. 
Anza kwenye vifundo vya miguu, na ueleze polepole duru kuzunguka mfupa wa kifundo cha mguu.
Mpake mafuta kwenda juu kwa taratiibu hadi eneo lote la nyuma uone mguu umelegea Wakati wa kufanya mapenzi, jitahidi kushika miguu yake na kuifanyia mitelezo utaona anazidi kutoa sauti za mahaba na mawadah.
 
japo kuwa hamuendani hii inaweza kukusaidia kwa nafasi kubwa kuweza kumkamata.


SEHEMU ZAKE ZA HISIA;

Miguu ndio sehemu yake kuu ya hisia ukiweza kucheza nae vizuri hapo unaweza kupewa unachotaka.



SEHEMU ZAKE ZA HISIA:

Kama nilivyoelezea awa li kuwa hawa watu wa maji bahari hisia zao zaidi zipo kwenye maziwa hivyo tafuta njia nzuri ya kucheza nae hapo basi utaona anakuwa maridhia kwa vitimbi vyako na utaweza kumkamata yote kwa yote wewe na yeye kwenye ndoa ni mateso sana kwa maana moto unahitaji upepo kukolea na maji yanahitaji ardhi kuweza kukaa nyie kwenye ndoa kila mmoja atizame uelekeo mwingine au kama unaweza basi uoe zaidi ya mwanamke mmoja.
Still bado kwako ni mtihani ukiwa nae kindoa



SEHEMU ZAKE ZA HISIA:
Sehemu zake za hisia ni shingo na koo ndio maeneo ambayo kuna hisia zake kubwa za kiwazimu ikiwa;- utagusa eneo hilo,kumbusu na kutomasa eneo hilo hata kama umekaa nae basi utampandisha kwa kasi sana hisia zake na hasa ukiwa umekaa karibu nae ukawa unamgusa hapo chochote unachosema kinaingia kwenye akili yake na roho yake moja kwa moja kuhusu wewe.

Ukimbusu eneo hilo vizuri na kumng'ata kichokozi akiwa kalala chali na kwenye koo lake basi utaona maajabu.
Fanya mbinu hii pia itakuongezea umaarufu kwake

Mfanyie massage hii ili kuweza kumfanya siku yake yote ajihisi yupo kwenye raha:

(1)Akiwa kalala kwa mgongo wake muwekee mitetemo kwenye shingo yake karibu na mizunguko ya masikio yake kwa kutumia vidole vyako tumia miondoko ya taratibu sana kwa maana sio punda huyu kama kina fulani huyu anataka vitu sensitive rudia hivyo hadi uone vipele vimesimama kwenye mikono yake. (Be very
gentle kuzunguka sehemu ya pipe za hewa kwenye shingo vinginevyo utamniga).

(2) Kumbuka ni mtu mwenye kupenda zaidi kufanyiwa hivyo akiwa kalala kwa tumbo lake hivyo fanya hivyo hadi kukaribia eneo la muunganiko wa uti wa mgongo lakini usitoke nje ya shingo maana umeme utakatika halafu ataona unamtembezea wadudu.
Ukianza kuona vinyweleo vimesimama na vipele basi jua chini hali si shwari wacha niishie hapa na Ramadhan hii nisije nikafanya mambo magumu masaa yamebaki machache.

Ikiwa utamgusa au kumfanyia manjonjo sehemu za shingo yake basi ni mtu mwenye kupata hisia za kiwazimu na wewe ikiwa atajua kucheza na mapaja yako yako basi ataweza kukupeleka mbali sana kihisia hisia zako siwezi kukwambia sana kwa maana wewe unamtizamia yeye.

UTAMVUTIA VIPI:-
Yeye kwanza sio mtu wa papara ni mtu anapenda kama ni utafiki ama mahusiano basi yaanze taratibu kama vile unajenga nyumba mapenzi kwake anataka uanzie msingi kwanza hivyo inakutaka kuwa ni mtu mwenye subira kuweza kummudu kimapenzi na subira wewe muda mwingine ni kitu huwa,
Mbinu;
kwanza kabisa kama ndio unaanza nae basi hakikisha kuwa unakuwa ni mtu wa kwanza kumtafuta na usiende nae kwa pupa kama hujagusa katika kujifanya ni mtu mwenye subira sana basi moja kwa moja hutampata kwa maana kama ni wa dada wazamani huyu atakwambia nisubiri miezi 9 nikufikirie.
Muonyeshe kuwa upo radhi kuwepo muda wote pale anapokuwa anakuhitaji na ujionyeshe kuwa wewe ni mtundu mtundu. Yeye hupenda mtu anaekuwa taratibu taratibu na kama unaweza kumsababisha kucheka cheka basi huna muda mrefu unayoyataka utapata. Pia utaanza kumuona nae ni mtu anautundu utundu na kupenda utani utani na anapenda mtu mwenye kumvutia kwa yale anayoyafikiria akilini kwake yaani unatakiwa kujipendekeza kuuliza unataka niwe vipi?

Tabia zake za kero ndogo ndogo ni mategemeo yake uzifurahie na ujifanye kucheka anapoongea upumbavu au jambo lisilo na maana kwako.
Na kama akisema kwa utani ukajibu kwa utani basi moja kwa moja anakufungulia moyo wake na kuona hakuna mtu kama wewe duniani hapa na anaweza kukuganda kama kupe pia utani wa kimwili kama kumgusa mwili na kumminya minya ni vitu anapenda kama ni mke wako basi jaribu leo hata akinuna ukifanya hivyo anakaa sawa. Ni mtu kama unataka kumtoa basi anapendelea sehemu za hadhi ya juu kidogo na anapenda sehemu anayoenda kuwe kuna watu wanaojua nini wanafanya hasa wapishi. Mnunulie kinyaji kisichokuwa na kilevi ndio mapenzi yake kama sio mlevi lakini kama ni mtumiaji basi utakuta ni mpenzi wa wine.

Mazingira ya nyumbani ukimpikia hata chochote tu hujihisi special sana na hataskia la mtu kuhusu wewe valia mavazi ya kupika unapomuandalia chakula na hakikisha muonekano wako uwe ni safi mfanyie hivyo hata mara moja kwa mwezi utaanza kuona anatoa machozi
Ikiwa mazungumzo yanachelewa basi jitahidi asikushinde kimaongezi na wala usikwame katika kuzungumzia mnayoyapenda hasa akianza kuongelea pesa muhimu tabaka hili ni mwanamke mwenye kupenda pesa na kuigiza hajali pesa.

Pia tengeneza account mbili tatu za bank ili akitizama aone kabisa ni mtu mwenye kushughulika na mambo ya saving hata kama huna pesa atatambua ukipata utatunza.
Usihodhi mazungumzo.
anapoanza kuzungumza usimkatishe na usiwe mzembe katika kutoa sifa akifanya kitu hata cha kipuuzi nyumbani,kwenye gari yake,mapambo ni watu wenye kupenda kusifiwa wanapofanya mambo madogo.

Sehemu za hisia:
Sehemu zako za hisia zaidi ni maeneo ya moyoni na kifua lakini kwa yeye ni mapajani ikiwa utamtomasa vema mkiwa mmekaa pamoja ni mtu mwenye kupenda michezo ya mafuta(18+) hivyo huona raha sana.


SEHEMU ZA HISIA.
Ni mtu mwenye hisia zaidi katika kiuno chake kama unataka kumpumbaza katika tendo basi muombe kucheza cheza nae ili akikatika uwe umemshika kiuno na ukimgusa kisehemu kile wanachotumia kuchoma sindano za matak* basi yeye huhisi raha sana na hisia za kiwazimu na pia anapenda kuoga pamoja hasa ukimsponge eneo hilo na makalio yake
Ukifanya utundu zaidi eneo hilo chochote unachotaka atafanya lakini ndio hivyo mtaishia njiani

SEHEMU ZAKE ZA HISIA;

Miguu ndio sehemu yake kuu ya hisia ukiweza kucheza nae vizuri hapo unaweza kupewa unachotaka.





SEHEMU YAKE YA HISIA;

Wote wenye asili ya maji ya moto sehemu zao za hisia wake kwa waume ni mitalimbo na uke nao hupenda sana kuchezea sehemu hizo na ni wenye umaarufu sana wa kujichua na punyeto.

Wanapokuwa bored zaidi huamua kuanza kuchezea tupu zao ndicho kitu wanapenda na kujikagua au kushika eneo hilo na katika asilimia 100% 20 tu ndio hawana matatizo eneo hilo.


SEHEMU ZAKE ZA HISIA;

Hisia zake zipo miguuni pamoja na hisia zake za kimapenzi na wewe hisia zako zipo moyoni na kwenye kifua chako sasa hapa utaumia tu.



SEHEMU ZAKE ZA HISIA;
Hisia zako zipo miguuni pamoja na hisia zako za kimapenzi na yeye hisia zake zipo moyoni na kwenye kifua chake sasa hapa utamuumiza tu.

Kila utakacho fanya utakuwa unaona haelewi lakini the time utafanya multiple dates ndio utajua wewe ni mwenye tatizo.

kama unavyojua mtu kukubali kuwa ni mkosefu kuwa ni mtihani kwenye mahusiano au ndoa wewe na yeye mnaingia mlango wa kwanza ambao ni mlango wa ubinafsi kila mtu kati yenu atajiona ni bora wa mwenzie



SEHEMU YAKE YA HISIA:
Sehemu zake za hisia ni shingo na koo ndio maeneo ambayo kuna hisia zake kubwa za kiwazimu ikiwa;- utagusa eneo hilo,kumbusu na kutomasa eneo hilo hata kama umekaa nae basi utampandisha kwa kasi sana hisia zake na hasa ukiwa umekaa karibu nae ukawa unamgusa hapo chochote unachosema kinaingia kwenye akili yake na roho yake moja kwa moja kuhusu wewe.

Ukimbusu eneo hilo vizuri na kumng'ata kichokozi akiwa kalala chali na kwenye koo lake basi utaona maajabu.

Fanya mbinu hii pia itakuongezea umaarufu kwake

Mfanyie massage hii ili kuweza kumfanya siku yake yote ajihisi yupo kwenye raha:

(1)Akiwa kalala kwa mgongo wake muwekee mitetemo kwenye shingo yake karibu na mizunguko ya masikio yake kwa kutumia vidole vyako tumia miondoko ya taratibu sana kwa maana sio punda huyu kama kina fulani huyu anataka vitu sensitive rudia hivyo hadi uone vipele vimesimama kwenye mikono yake. (Be very
gentle kuzunguka sehemu ya pipe za hewa kwenye shingo vinginevyo utamniga).

(2) Kumbuka ni mtu mwenye kupenda zaidi kufanyiwa hivyo akiwa kalala kwa tumbo lake hivyo fanya hivyo hadi kukaribia eneo la muunganiko wa uti wa mgongo lakini usitoke nje ya shingo maana umeme utakatika halafu ataona unamtembezea wadudu.

Ukianza kuona vinyweleo vimesimama na vipele basi jua chini hali si shwari wacha niishie hapa na Ramadhan hii nisije nikafanya mambo magumu masaa yamebaki machache.

Ikiwa utamgusa au kumfanyia manjonjo sehemu za shingo yake basi ni mtu mwenye kupata hisia za kiwazimu na wewe eneo lako kubwa la hisia ni maungio yote ya mwilini ikiwa atakupatia sehemu hizo vizuri kama hamjafunga ndoa basi utataka itokee kesho.

SEHEMU ZAKE ZA HISIA:
Sehemu zake kuu za hisia ni kwenye miguu na mapacha yake unaweza kurudi kwenye quotes za nyuma ukaona kuna mtu nimeshamuelezea


ITAENDELEA KUWA UPDATED!

NOTE:

Ikiwa unahitaji kutizamiwa nyota yako na mwenza wako ama mtu unaetaka kuhusiana nae na kujua mtaenda vipi, usisite kuwasiliana nasi:

Gharama sh elfu 5,000

Kwa mawasiliano na huduma:
Wasiliana nasi kupitia:

Email: rakimsspiritual@gmail.com
mnajimu@unajimu.com

WhatsApp +255 783 930 601

Rakims

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Check Now
Accept !